// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
JKT QUEENS YATINGA FAINALI KLABU AFRIKA MASHARIKI NA KATI WANAWAKE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEJKT QUEENS YATINGA FAINALI KLABU AFRIKA MASHARIKI NA KATI WANAWAKE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
JKT QUEENS YATINGA FAINALI KLABU AFRIKA MASHARIKI NA KATI WANAWAKE
TIMU ya JKT Queens imefanikiwa kuingia Fainali ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake Afrika Mashariki na Katí baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Burundi leo Uwanja wa Kituo cha Ufundi cha FUFA, Njeru nchini Uganda. Mabao ya JKT Queens yamefungwa na Donisia Minja, Stumai Abdallah na Winfrida Gerlad, wakati bao pekee la la Abuja Queens limefungwa na Teopostar Situma. Sasa JKT Queens itakutana na mshindi kati ya CBE F.C. ya Ethiopia Vihiga Queens FC ya Kenya zinazomenyana hivi sasa katika Fainali ambayo itapigwa Jumatano.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment