• HABARI MPYA

    Tuesday, August 15, 2023

    NAMUNGO FC YAANZA NA KICHAPO CHA JKT 1-0 RUANGWA


    BAO la Martin Kigi dakika ya 43 limeipa mwanzo mbaya Namungo FC nyumbani baada ya kuchapwa 1-0 na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YAANZA NA KICHAPO CHA JKT 1-0 RUANGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top