// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NGUSHI APIGA MBILI, KONKONI MOJA YANGA YASHINDA 6-0 KIGAMBONI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NGUSHI APIGA MBILI, KONKONI MOJA YANGA YASHINDA 6-0 KIGAMBONI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 04, 2023

    NGUSHI APIGA MBILI, KONKONI MOJA YANGA YASHINDA 6-0 KIGAMBONI


    MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 6-0 dhidi ya Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki kambini kwao, Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
    Mabao ya Yanga yamefungwa na Clement Mzize, Crispin Ngushi mawili, Mburkinabe Stephane Aziz Ki, Mghana Hafiz Konkoni na Muivory Coast Peodoh Pacome Zouzoua. 
    Huo unakuwa mchezo wa tatu wa kujiandaa na msimu kwa Yanga chini ya Kocha mpya, Muargentina Miguel Ángel Gamondi baada ya kuzichapa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini 1-0 na Magereza ya Dar es Salaam 10-0.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGUSHI APIGA MBILI, KONKONI MOJA YANGA YASHINDA 6-0 KIGAMBONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top