Mabao ya Yanga yamefungwa na beki Dickson Job dakika ya 17, viungo Mburkinabe Stephane Aziz Ki dakika ya 58, mshambuliaji Mghana Hafiz Konkoni dakika ya 69 na viungo Mzanzibari Mudathir Yahya dakika ya 76 na Muivory Coast Pacome Zouazoua dakika ya 80.
Ulikuwa mchezo wa kwanza kwa Yanga msimu huu, huku KMC wakicheza mechi ya pili baada ya sare ya 1-1 ugenini na Namungo FC Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
0 comments:
Post a Comment