• HABARI MPYA

    Thursday, August 10, 2023

    SINGIDA NA SIMBA ZAKAMILISHA USAJILI WA WACHEZAJI WAKE WA KIGENI


    KLABU za Simba na Singida Fountain Gate zimewsilisha vibali vya wachezaji wake wa kigeni ili waruhusiwe kucheza Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. 
    Taarifa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imesema kwamba Simba imewasilisha vibali vya wachezaji 11, wakati Singida imewasilisha vibali vya wachezaji 10 wa kigeni kwa ajii ya michuano ya Ngao ya Jamii iliyoanza jana.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA NA SIMBA ZAKAMILISHA USAJILI WA WACHEZAJI WAKE WA KIGENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top