MABINGWA watetezi, Manchester City wameendelea wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Sheffield United mabao 2-1 leo Uwanja wa Bramall Lane, Sheffield. Mabao ya Manchester City yamefungwa na Erling Haaland dakika ya 63 na Rodri dakika ya 88, wakati la Sheffield United limefungwa na Jayden Bogle dakika ya 85. Kwa ushindi huo, Manchester City wanafikisha pointi tisa, huku Sheffield United ikibaki bila pointi baada ya wote kucheza mechi tatu za mwanzo za msimu.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment