// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); CHIPUKIZI WA TANZANIA ASAJILIWA KLABU YA LIGI KUU KENYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE CHIPUKIZI WA TANZANIA ASAJILIWA KLABU YA LIGI KUU KENYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 02, 2023

    CHIPUKIZI WA TANZANIA ASAJILIWA KLABU YA LIGI KUU KENYA


    WINGA chipukizi wa Kimataifa wa Tanzania, Oscar Adam Paul (katikati) amejiunga na klabu ya Kakamega Homeboyz ya Kenya kutoka Tanzania Prisons ya nyumbani, Mbeya.
    Usajili umefanikishwa na kocha mpya wa Kakamega Homeboyz, Patrick Odhiambo, ambaye awali alifanya kazi na Oscar Adam Paul alipokuwa anafundisha Tanzania Prisons FC kabla ya kufukuzwa mwaka jana.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHIPUKIZI WA TANZANIA ASAJILIWA KLABU YA LIGI KUU KENYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top