// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, August 20, 2023

    MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD


    BAO pekee la Julian Alvarez dakika ya 31 jana lilitosha kuipa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
    Ni ushindi wa pili mfululizo kwa mabingwa hao watetezi, baada ya ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Burnley, wakati Newcastle inapoteza mchezo wa kwanza kufuatia kuanza na ushindi wa 5-1 dhidi ya Aston Villa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top