• HABARI MPYA

    Sunday, August 20, 2023

    MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD


    BAO pekee la Julian Alvarez dakika ya 31 jana lilitosha kuipa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
    Ni ushindi wa pili mfululizo kwa mabingwa hao watetezi, baada ya ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Burnley, wakati Newcastle inapoteza mchezo wa kwanza kufuatia kuanza na ushindi wa 5-1 dhidi ya Aston Villa.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAWACHAPA NEWCASTLE UNITED 1-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top