BAO pekee la Julian Alvarez dakika ya 31 jana lilitosha kuipa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad Jijini Manchester.
Ni ushindi wa pili mfululizo kwa mabingwa hao watetezi, baada ya ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Burnley, wakati Newcastle inapoteza mchezo wa kwanza kufuatia kuanza na ushindi wa 5-1 dhidi ya Aston Villa.
0 comments:
Post a Comment