// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
WAGENI WOTE SIMBA, YANGA NA SINGIDA 'WAPIGWA STOP' NGAO YA JAMII - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEWAGENI WOTE SIMBA, YANGA NA SINGIDA 'WAPIGWA STOP' NGAO YA JAMII - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WAGENI WOTE SIMBA, YANGA NA SINGIDA 'WAPIGWA STOP' NGAO YA JAMII
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kwamba ni Azam FC iliyowasilisha vibali vya wachezaji wake 10 wa kigeni kwa ajili ya kucheza michuano ya Ngao ya Jamii inayotarajiwa kuanza leo Jijini Tanga. Michuano hiyo ya timu nne inatarajiwa kuanza leo Saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga, mabingwa watetezi Yanga wakifungua dimba na Azam FC, wakati kesho Simba SC itameyana na Singida Fountain Gate. Washindi wa mechi hizo mbili leo na kesho watakutana katika Fainali Jumapili katika mchezo ambao utatanguliwa mechi ya kusaka mshindi wa Tatu hapo hapo Mkwakwani.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment