Michuano hiyo ya timu nne inatarajiwa kuanza leo Saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga, mabingwa watetezi Yanga wakifungua dimba na Azam FC, wakati kesho Simba SC itameyana na Singida Fountain Gate.
Washindi wa mechi hizo mbili leo na kesho watakutana katika Fainali Jumapili katika mchezo ambao utatanguliwa mechi ya kusaka mshindi wa Tatu hapo hapo Mkwakwani.
0 comments:
Post a Comment