ALLY SALIM SHUJAA SIMBA YABEBA NGAO KWA MATUTA TANGA
TIMU ya Simba SC imefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa penalti 3-1 dhidi ya watani, Yanga kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Shujaa wa Simba kwa mara nyingine leo amekuwa kipa Ally Salum aliyeokoa penalti tatu mfululizo za viungo Mganda Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na beki Kouassi Attohoula Yao, wote wa Ivory Coast, huku Mburkinabe Stephane Aziz Ki pekee akifunga upande wa Yanga. Waliofunga penalti za Simba ni kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Muzamil Yassin na washambuliaji Mcameroon Leandre Willy Essomba Onana na Mkongo, Jean Othos Baleke huku Mrundi Saido Ntibanzokiza iliokolewa na kipa Mmali, Djigui Diarra na ya Mzambia, Moses Phiri ikienda juu ya lango. Simba ilifika Fainali kwa ushindi wa penalti pia 4-2 dhidi ya Singida Fountain Gate Alhamisi huku Yanga wakiifunga Azam FC 2-0 Jumatano.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment