• HABARI MPYA

    Monday, August 07, 2023

    COASTAL UNION YAICHAPA SINGIDA 1-0 MECHI YA KIRAFIKI MKWAKWANI


    BAO la mshambuliaji mpya, Dennis Modzaka aliyesajiliwa kutoka Bechem United F.C. ya kwao, Ghana limeipa Coastal Unión ushindi wa 1-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COASTAL UNION YAICHAPA SINGIDA 1-0 MECHI YA KIRAFIKI MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top