WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Lameck Nchemba akiwa amevaa jezi ya Simba SC, japokuwa inafahamika ni shabiki na mwanachama wa klabu ya Yanga.
Hapa Waziri Mwigulu akimpa jezi ya Yanga, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye inafahamika ni mpenzi wa Simba
Waziri Dk Mwigulu Lameck Nchemba akiwa na jezi ya Yanga mwaka juzi na chini akiwa na jezi ya Simba juziPicha hii ya juzi aliambatanisha na maelezo; “Wana Simba msihangaike na Morrison (Bernard), BM ni nani buana, usajili bora ni mimi; I’m White and Red,”
0 comments:
Post a Comment