TIMU za vijana za Simba na Yanga zote zimetolewa katika Robo Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 leo Uwanja wa Azam Complex, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Ilianza Coastal Union kuitupa nje Simba SC kwa kuilaza 1-0, bao pekee la Mgaya Khamis dakika ya 48.
Ikifuatia Mbeya Kwanza kuitoa Yanga kwa kuichapa 1-0 pia, bao pekee la Ahmed Hassan dakika ya 51. Mechi nyingine za Robo Fainali, wenyeji, Azam FC walikwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa penalti 6-5 baada ya sare ya 1-1. Katika mchezo wa kwanza, mabingwa watetezi, Mtibwa Sugar waliitupa nje Geita Gold kwa penalti 4-2 baada ya sare ya 1-1. Nusu Fainali ni Ijumaa, Mbeya Kwanza na Coastal Union na Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar hapo hapo Azam Complex.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment