• HABARI MPYA

    Tuesday, July 05, 2022

    WAKURUGENZI SIMBA WAMALIZA TOFAUTI ZAO, WAAHIDI MAZURI MSIMBAZI

     

    PICHANI ni Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC baada ya kikao maalum cha kuzungumza na kumaliza tofauti zao ambacho kimekwenda vizuri na wameahidi mambo mazuri yanakuja Msimbazi.
    Kutoka kulia ni Jerry Yambi, Adam Mgoyi, Mohamed Nassor, Kassim Dewji, Salum Abdallah, Muslah Ruwayh na Crescentius Magori.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAKURUGENZI SIMBA WAMALIZA TOFAUTI ZAO, WAAHIDI MAZURI MSIMBAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top