// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BI HINDU MWIGIZAJI MKONGWE MWANA SIMBA AFARIKI DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBI HINDU MWIGIZAJI MKONGWE MWANA SIMBA AFARIKI DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BI HINDU MWIGIZAJI MKONGWE MWANA SIMBA AFARIKI DUNIA
MWANACHAMA mkongwe wa Simba SC, Chuma Suleiman maarufu kama Bi. Hindu amefariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mjukuu wake, Bi. Hindu aliyekuwa mwigizaji maarufu wa filamu na tamthiliya nchini, amekutwa na umauti baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda. Klabu ya Simba imetoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huo na kwamba wapo pamoja na familia katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo. Mazishi yatafanyika kesho Jumapili saa 7 mchana eneo la Magomeni Mapipa katika makaburi ya Mwinyimkuu.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment