SIMBA SC YAMSAJILI BEKI NASSOR KAPAMA WA KAGERA SUGAR
KLABU ya Simba imemtambulisha beki Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar kuwa mchezaji wake wa nne mpya kuelekea msimu ujao. Kapama anakuwa mzawa wa pili mpya kusajiliwa Simba baada ya mshambuliaji Habib Kyombo kutoka Mbeya Kwanza iliyoshuka Daraja. Wengine ni kiungo Mnigeria, Victor Akpan kutoka Coastal Union na mshambuliaji Mzambia, Moses Phiri kutoka Zanaco ya kwao.
Bayelsa guber: PDP, APC in two-horse race
-
From Femi Folaranmi, Yenagoa As the countdown for the November 11 Bayelsa
governorship election begins, the ruling party in the state, the Peoples
Democr...
Crested Cranes go down fighting against Algeria
-
Uganda Women’s Senior National Football team had a frustrating outing on
Wednesday as they faced Algeria in the 2024 TotalEnergies Women’s Africa
Cup of ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment