SIMBA SC YAMSAJILI BEKI NASSOR KAPAMA WA KAGERA SUGAR
KLABU ya Simba imemtambulisha beki Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar kuwa mchezaji wake wa nne mpya kuelekea msimu ujao. Kapama anakuwa mzawa wa pili mpya kusajiliwa Simba baada ya mshambuliaji Habib Kyombo kutoka Mbeya Kwanza iliyoshuka Daraja. Wengine ni kiungo Mnigeria, Victor Akpan kutoka Coastal Union na mshambuliaji Mzambia, Moses Phiri kutoka Zanaco ya kwao.
Sutton's Premier League predictions v Ride
-
BBC Sport football expert Chris Sutton takes on Ride's Andy Bell & Steve
Queralt to make predictions for this weekend's Premier League games.
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment