• HABARI MPYA

    Friday, July 08, 2022

    SIMBA YAENDELEZA UBABE LIGI YA VIJANA U20

    BAO pekee la Godfrey George dakika ya 22 limeipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi ya Biashara United katika mchezo wa Kundi A Ligi Kuu ya Vijana U20 usiku wa Alhamisi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Mechi nyingine ya Kundi A leo, Polisi Tanzania imeichapa Namungo FC 2-0, wakati mechi za Kundi C, Mbeya City imeichapa Tanzania Prisons 2-1 na Azam FC na Coastal Union zimetoka sare ya 0-0.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA YAENDELEZA UBABE LIGI YA VIJANA U20 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top