• HABARI MPYA

    Friday, July 08, 2022

    SINGIDA STARS YAMSAJILI ABDULMAJID MANGALO


    TIMU ya Singida Big Stars imemsajili beki Abdulmajid Mangalo ni kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Biashara United iliyoshuka Daraja.
    Mangalo anakuwa mchezaji mpya wa nne Singida Big Stars baada ya Aziz Andambwile kutoka Mbeya City, Paul Godfrey ‘Boxer’ kutoka Yanga na Kelvin Sabato kutoka Mtibwa Sugar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA STARS YAMSAJILI ABDULMAJID MANGALO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top