// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
NI MTIBWA SUGAR MABINGWA TENA LIGI YA VIJANA U20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINENI MTIBWA SUGAR MABINGWA TENA LIGI YA VIJANA U20 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa mara ya nne mfululizo baada ya kuwafunga Mbeya Kwanza mabao 4-1 leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Ezekiel Eusebio dakika ya 29, Ladack Chasambi dakika ya 45, Said Mkopi dakika ya 84 na Omary Suleiman dakika ya 90 na ushei, wakati la Mbeya Kwanza limefungwa na Willie Thobias dakika ya 68. Katika mchezo uliotangulia wa kusaka mshindi wa tatu, Azam FC imeifunga Coastal Union kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 hapo hapo Chamazi.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment