SINGIDA STARS YAMSAJILI ‘MIDO’ AZIZ ANDAMBWILE MWAMBALASWA
KLABU ya Singida Big Stars imemtambulisha kiungo Aziz Andabwile Mwambalaswa kutoka Mbeya City kuwa mchezaji wake mpya kuekekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Andambwile mwenye umri wa miaka 22 ni miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri katika msimu uliomalizika wa Ligi Kuu na amekuwa akihusishwa na klabu nyingine mbalimbali, wakiwemo mabingwa, Yanga SC.
Coach Paul Put’s reaction on the CHAN 2024 Draw
-
Uganda Cranes Head Coach Paul Joseph Put expects no pushovers at the CAF
TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) KE.TZ.UG 2024. The gaffer
was ...
Revealed: Why CHAN 2024 was postponed
-
The 2024 African Nations Championship (CHAN) has been postponed, announced
the Confederation of African Football (CAF). It will now kick off in August
20...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment