KLABU ya Singida Big Stars imemtambulisha kiungo Aziz Andabwile Mwambalaswa kutoka Mbeya City kuwa mchezaji wake mpya kuekekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Andambwile mwenye umri wa miaka 22 ni miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri katika msimu uliomalizika wa Ligi Kuu na amekuwa akihusishwa na klabu nyingine mbalimbali, wakiwemo mabingwa, Yanga SC.
0 comments:
Post a Comment