• HABARI MPYA

    Monday, July 11, 2022

    METACHA MNATA AJIUNGA NA SINGIDA STARS


    TIMU ya Singida Big Stars imemsajili kipa namba mbili wa timu ya taifa, Metacha Boniphace Mnata kutoka Polisi Tanzania kwa mkataba wa miaka miwili.
    Mnata anakuwa mchezaji mpya wa tano Singida Big Stars baada ya Abdulmajid Mangalo kutoka Biashara United, Aziz Andambwile kutoka Mbeya City, Paul Godfrey ‘Boxer’ kutoka Yanga na Kelvin Sabato kutoka Mtibwa Sugar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: METACHA MNATA AJIUNGA NA SINGIDA STARS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top