// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
FAINALI LIGI YA VIJANA U20 NI MTIBWA NA MBEYA KWANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEFAINALI LIGI YA VIJANA U20 NI MTIBWA NA MBEYA KWANZA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
FAINALI LIGI YA VIJANA U20 NI MTIBWA NA MBEYA KWANZA
FAINALI ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 itazikutanisha Mbeya Kwanza ya Mbeya na Mtibwa Sugar ya Morogoro Jumapili Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Hiyo ni baada ya timu hizi kuzitupa nje, Azam na Coastal Union katika mechi za Nusu Fainali leo hapo hapo Azam Complex. Ilianza Mbeya Kwanza kuitupa nje Coastal Union kwa kuichapa 1-0, bao pekee la Joel Mwambungu dakika ya 83. Ikifuatia Mtibwa Sugar kuitoa Azam kwa penalti 9-8 baada ya sare ya bila kufungana ndani ya dakika 120.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment