• HABARI MPYA

    Thursday, July 07, 2022

    AZAM FC YAACHANA NA BEKI WAKE YVAN MBALLA


    KLABU ya Azam FC imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na aliyekuwa beki wake wa kati, Yvan Mballa baada ya msimu mmoja tangu ajiunge nao kutoka Forest Rangers ya Zambia, kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAACHANA NA BEKI WAKE YVAN MBALLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top