KLABU ya Yanga, imemtambulisha beki wa kushoto wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Lomalisa Mutambala kuwa mchezaji wake mpya wa nne kuelekea msimu mpya. Mutambala anajiunga na Yanga kutoka klabu ya Sagrada Esperança ya Angola ambayo alijiunga nayo mwaka 2020 akitokea Excel Mouscron ya Ubelgiji, iliyomnunua mwaka 2017 kutoka AS Vita ya kwao, Kinshasa iliyomuibua mwaka 2013. Mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 29 anakuwa mchezaji mpya wa nne Yanga baada ya kiungo Mrundi, Gael Bigiriamana kutoka Glentoran ya Ireland Kaskazini, winga Mghana, Bernard Morrison kutoka Simba na mshambuliaji Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Anaungana na wachezaji wenzake Wakongo sita, beki Djuma Shabani, kiungo Yanick Bangala, winga Jesus Moloko na washambuliaji Chico Ushindi, Fiston Mayele na Heritier Makambo.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment