Vincenzo Grifo (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 14 na 75 kwa penalti katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Estonia, mabao mengine yakifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 27 na Riccardo Orsolini kwa penalti pia dakika ya 86 kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Artemio Franchi Jijini Firenze PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Belgian Pocognoli confirmed as Scotland boss
-
The Scottish FA say they have appointed "one of Europe's brightest emerging
coaching talents" by securing Sebastien Pocognoli as Scotland men's new
head co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment