• HABARI MPYA

    Thursday, November 26, 2020

    MAN CITY yAICHAPA OLYMPIAKOS 1-0 PIRAEUS LIGI YA MABINGWA


    Phil Foden akishangilia na Raheem Sterling baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 36 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Olympiacos kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa usiku wa jana Georgios Karaiskaki Jijini Piraeus
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY yAICHAPA OLYMPIAKOS 1-0 PIRAEUS LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top