SERENGETI BOYS WAIBUKA NA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA WENYEJI, MOROCCO LEO MICHUANO YA U-17
TIMU ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boystz imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Morocco U17 kwenye mchezo wa Kirafiki wa Kimataifa nchini Morocco, bao pekee laOmar Abbas dakika ya 29.
0 comments:
Post a Comment