• HABARI MPYA

    Thursday, November 19, 2020

    PHIL FODEN APIGA MBILI ENGLAND YAITANDIKA ICELAND 4-0 WEMBLEY


    Phil Foden akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili England dakika ya 80 na 84 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Iceland, mabao mengine yakifungwa na Declan Rice dakika ya 20 na Mason Mount dakika ya 24 kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley Jijini London 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PHIL FODEN APIGA MBILI ENGLAND YAITANDIKA ICELAND 4-0 WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top