• HABARI MPYA

    Wednesday, November 25, 2020

    GIROUD AFUNGA LA USHINDI CHELSEA YAWALAZA RENNES 1-0


    Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 90 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Rennes kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park. Chelsea ilitangulia kwa bao la Callum Hudson-Odoi dakika ya 22, kabla ya Serhou Guirassy kuisawazishia Rennes dakika ya 85
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD AFUNGA LA USHINDI CHELSEA YAWALAZA RENNES 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top