Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania wakati wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jana kutoka Tunisia ambako Ijumaa walifungwa 1-0 na wenyeji wao hao katika mchezo wa Kundi J kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Uwanja wa Uwanja wa Hamadi Agrebi Olimpiki mjini Rades. Timu hizo zitarudiana kesho Saa 4:00 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
Liverpool summer signing 'linked with shock exit from Anfield after just
seven months'... with Galatasaray interested in signing the out-of-favour
star
-
One of Liverpool's summer signings from last year could be making a swift
exit from the club after falling down the pecking order at Anfield,
according to ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment