Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk. Benson Bana ametembelea kambi ya Simba SC Jijini Abuja, Nigeria na kuzungumza na viongozi na wachezaji na kabla ya kukabidhiwa zawadi ya jezi mpya ambayo itatumika kwenye mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Plateau United Jumapili Uwanja wa Jos mjini humo
Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk. Benson Bana akizungumza na kocha wa Simba SC, Mbelgiji Sven Ludwig Vandenbroeck
Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk. Benson Bana akizungumza na viongozi na wachezaji wa Simba leo Abuja
0 comments:
Post a Comment