• HABARI MPYA

    Saturday, November 21, 2020

    CHELSEA YAICHAPA 2-0 NEWCASTLE UNITED NA KUPANDA KILELENI


    Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 65 kufuatia Federico Fernandez kujifunga dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St James' Park. Ushindi unaipeleka The Blues kileleni japo kwa saa kadhaa, ikifikisha pointi 18 sawa na Leicester City
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAICHAPA 2-0 NEWCASTLE UNITED NA KUPANDA KILELENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top