• HABARI MPYA

    Saturday, November 28, 2020

    IBRAHIM CLASS AMSHINDA KWA POINTI MZAMBIA NA KUTETEA TAJI

    Refa akimuinua mkono Bondia Mtanzania, Ibrahim Class baada ya kumshinda kwa pointi, Mzambia Mzambia, Simon Ngoma kwenye pambano la Raundi 10 ukumbi wa PTA, Saba Saba na kufanikiwa kutetea mkanda wake wa GBC uzito wa Feather

    Ibrahim Class akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kumshinda kwa pointi, Mzambia Mzambia, Simon Ngoma 
    Ibrahim Class akivalishwa mkanda wake baada ya ushindi wa jana ukumbi wa PTA, Saba Saba

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IBRAHIM CLASS AMSHINDA KWA POINTI MZAMBIA NA KUTETEA TAJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top