• HABARI MPYA

    Wednesday, November 25, 2020

    NYOTA WA SIMBA SC WALIVYOONDOKA ADDIS ABABA LEO ASUBUHI KUWAFUATA PLATEAU UNITED ABUJA

    Wachezaji wa Simba SC wakienda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Boli Addis Ababa, Ethiopia tayari kuunganisha ndege kwenda Abuja, Nigeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Plateau United Ijumaa kufuatia safari iliyoanza jana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NYOTA WA SIMBA SC WALIVYOONDOKA ADDIS ABABA LEO ASUBUHI KUWAFUATA PLATEAU UNITED ABUJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top