Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo, akiwa safarini kuelekea nchini Afrika Kusini jana alfajiri, kufanyiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto alioumia kwenye mechi ya Ligi Kuu yaTanzania Bara dhidi ya Yanga Novemba 25. Mzimbabwe huyo atafanyiwa matibabu katika hospitali ya Vincent Pallotti Jijini Cape Town, ambako wachezaji wote wa Azam FC wamekuwa wakitibiwa hapo kwa ufanisi mkubwa.
Belgian Pocognoli confirmed as Scotland boss
-
The Scottish FA say they have appointed "one of Europe's brightest emerging
coaching talents" by securing Sebastien Pocognoli as Scotland men's new
head co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment