Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo, akiwa safarini kuelekea nchini Afrika Kusini jana alfajiri, kufanyiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto alioumia kwenye mechi ya Ligi Kuu yaTanzania Bara dhidi ya Yanga Novemba 25. Mzimbabwe huyo atafanyiwa matibabu katika hospitali ya Vincent Pallotti Jijini Cape Town, ambako wachezaji wote wa Azam FC wamekuwa wakitibiwa hapo kwa ufanisi mkubwa.
England have sounded 'alarm bells around world cricket', claims Brendon McCullum
-
Brendon McCullum believes 'alarm bells' have sounded for England's Test
opponents as they prepare to build on their whitewash of New Zealand by
taking on I...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni