Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo, akiwa safarini kuelekea nchini Afrika Kusini jana alfajiri, kufanyiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto alioumia kwenye mechi ya Ligi Kuu yaTanzania Bara dhidi ya Yanga Novemba 25. Mzimbabwe huyo atafanyiwa matibabu katika hospitali ya Vincent Pallotti Jijini Cape Town, ambako wachezaji wote wa Azam FC wamekuwa wakitibiwa hapo kwa ufanisi mkubwa.
Benfica's Prestianni banned for homophobic conduct in Real Madrid tie
-
Gianluca Prestianni is given a six-game ban by Uefa for homophobic conduct
during Benfica's Champions League knockout play-off matched with Real
Madrid in ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment