Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coaches Shade Brock Bowers: 'Less Explosive' and 'an Expensive Luxury
Item'
-
Georgia tight end Brock Bowers was almost a cheat code in college, but fans
might have to reset their expectations for the 6'3" pass-catcher. The
Athletic's…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment