Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘I would expect…’: MEN journo predicts £35m Man Utd man will lose his place
after starting all three PL games
-
Youri Tielemans has been tipped to lose his place in the starting XI once
Carlos Baleba is fit and available.Currently, Manchester United’s third and
final...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment