Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Helicopter crew winches stranded woman to safety from dense Italian
mountain forest
-
Italian firefighters launched a helicopter rescue on June 7 after a woman
became stranded in hard-to-reach woodland near Brunate, Como province. A
crew mem...
37 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment