Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
More revenue for Nigeria as crude hits over $100/barrel
-
Nigeria’s struggling revenue profile is set for a rise as Brent crude
yesterday, rose above $100 a barrel for the first time in nearly two
months, hittin...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment