TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
‘I would expect…’: MEN journo predicts £35m Man Utd man will lose his place
after starting all three PL games
-
Youri Tielemans has been tipped to lose his place in the starting XI once
Carlos Baleba is fit and available.Currently, Manchester United’s third and
final...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment