TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
Tennis expert reveals what Iga Swiatek is REALLY like behind the scenes
after World No 2 enraged fans by smashing ball at a ball kid in shocking
moment
-
The Pole came under fire after she smashed a ball at a ball kid following
her devastating loss to Russian teenager Mirra Andreeva 7-6 1-6 6-3 to
reach the ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment