TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
More revenue for Nigeria as crude hits over $100/barrel
-
Nigeria’s struggling revenue profile is set for a rise as Brent crude
yesterday, rose above $100 a barrel for the first time in nearly two
months, hittin...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment