TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
Thunder's Chet Holmgren Hypes Shai Gilgeous-Alexander as NBA MVP After
Playoff Win
-
Chet Holmgren let the world know. After the Oklahoma City Thunder jumped
out to a 2-0 series lead over the New Orleans Pelicans in their first-round
matchup…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment