Mchezaji wa Ngorongoro Heroes Abdul Hamisi Suleiman akiwa na mpira baada ya kufunga mabao matatu dakika za 65,71 na 90 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Djibouti kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya CECAFA U20 leo Uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu mkoani Arusha. Mabao mengine ya Tanzania yalifungwa na Teps Theonasy dakika ya 52, Khelfin Hamdou dakika ya 82 na Kassim Haruna dakika ya 88, wakati la Djibouti limefungwa na Abdourahma Kamil dakika ya 14
Fulham look to sign Wolfsburg fullback Kevin Mbabu for around £8m
-
Fulham have held talks over an £8m move for Wolfsburg right-back Kevin
Mbabu as they consider cheaper options to Liverpool's Neco Williams. Fulham
have bee...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni