Mchezaji wa Ngorongoro Heroes Abdul Hamisi Suleiman akiwa na mpira baada ya kufunga mabao matatu dakika za 65,71 na 90 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Djibouti kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya CECAFA U20 leo Uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu mkoani Arusha. Mabao mengine ya Tanzania yalifungwa na Teps Theonasy dakika ya 52, Khelfin Hamdou dakika ya 82 na Kassim Haruna dakika ya 88, wakati la Djibouti limefungwa na Abdourahma Kamil dakika ya 14
Aaron Shattock: Footy legend Jonathan Brown was mourning Adam Selwood when
an amazing update on a teammate who almost died aged 45 gave him a ray of
hope
-
Brisbane Lions icon Jonathan Brown is good friends with the Selwood family
after playing alongside Adam's identical twin brother Troy.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment