Mchezaji wa Ngorongoro Heroes Abdul Hamisi Suleiman akiwa na mpira baada ya kufunga mabao matatu dakika za 65,71 na 90 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Djibouti kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya CECAFA U20 leo Uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu mkoani Arusha. Mabao mengine ya Tanzania yalifungwa na Teps Theonasy dakika ya 52, Khelfin Hamdou dakika ya 82 na Kassim Haruna dakika ya 88, wakati la Djibouti limefungwa na Abdourahma Kamil dakika ya 14
‘I would expect…’: MEN journo predicts £35m Man Utd man will lose his place
after starting all three PL games
-
Youri Tielemans has been tipped to lose his place in the starting XI once
Carlos Baleba is fit and available.Currently, Manchester United’s third and
final...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment