Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo mchana Uwanja wa Etihad. Leroy Sane alitokea benchi kuchukua nafasi ya Jesus dakika ya 57 naye akafunga mabao mawili dakika za 77 na 90 na ushei, wakati bao la kwanza leo lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 24. Liverpool ilimaliza pungufu baada ya Sadio Mane kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 37 baada ya kumgonga usoni kipa wa Man City, Ederson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Russell Crowe's Souths 'power struggle' with Aussie tech billionaire
as Hollywood star's club battles its biggest drama in 20 years
-
The Gladiator star was hailed for rescuing the team and helping lead it to
grand final glory after he took control in 2006 - but recent events show
his inf...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment