// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TWIGA STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA COSAFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TWIGA STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA COSAFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, September 03, 2022

    TWIGA STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA COSAFA


    MABINGWA watetezi, Tanzania wameanza vyema michuano ya COSAFA kwa wanawake baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Comoro leo Uwanja wa Madibaz mjini Port Elizabeth, Afrika Kusini.
    Mabao ya Twiga Stars yamefungwa na Donisia Minja dakika ya 13 na Enekia Kasonga ‘Lunyamila’ mawili dakika ya 41 na 52.
    Baada ya mechi hiyo, nyota wa Twiga Stars 
    Enekia Kasonga ‘Lunyamila’ alipewa Tuzo ya Mchezaji Bora kwa soka nzuri aliyoonyesha huku akitoa mchango mkubwa kwa ushindi wa timu yake kutokana na kufunga mara mbili.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA COSAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top