• HABARI MPYA

    Thursday, September 29, 2022

    MOGELLA AKIMTAMBULISHA MOGELLA SIMBA SC 1991


    NAHODHA wa Simba mwaka 1991, Zamoyoni Mogella akimtambulisha mchezaji mwenzake, Method Mogella (sasa marehemu) kwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati huo, John Samuel Malecela kabla ya moja ya mechi zao.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOGELLA AKIMTAMBULISHA MOGELLA SIMBA SC 1991 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top