NAHODHA wa Simba mwaka 1991, Zamoyoni Mogella akimtambulisha mchezaji mwenzake, Method Mogella (sasa marehemu) kwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati huo, John Samuel Malecela kabla ya moja ya mechi zao.
0 comments:
Post a Comment