WENYEJI, Barcelona wameanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 5-1 dhidi ya Viktoria Plzen 5-1 kwenye mchezo wa Kundi C jana Uwanja wa Nou Camp.
Mabao ya Barca jana yamefungwa na Robert Lewandowski matatu dakika za 34, 45 na ushei na 67, mengine Franck Kessie dakika ya 13 na Ferran Torres dakika ya 71, wakati la wageni lilifungwa na Jan Sýkora dakika ya 44.
0 comments:
Post a Comment