• HABARI MPYA

    Tuesday, September 13, 2022

    CHIPO NDIYE MRITHI WA JUMA MGUNDA COASTAL UNION


    KATIBU Mkuu wa Coastal Union, Omar Ayoub (kushoto) akimtambulisha kocha mpya, Yusuf Chipo ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu hiyo kufuatia kuondoka kwa Juma Mgunda aliyehamia Simba SC.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHIPO NDIYE MRITHI WA JUMA MGUNDA COASTAL UNION Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top