KLABU ya Yanga jana asubuhi imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Eagle Air Force ya Daraja la Nne katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Avic Town, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Yanga yalifungwa na Wakongo, beki Joyce Lomalisa na mshambuliaji, Fiston Kalala Mayele mawili na lingine beki Mzanzibari, Ibrahim Bacca. Bao pekee la Eagle Air Force ya Ubungo, timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ) inayofundishwa na kocha Joseph Kanakamfumu, lilifungwa na Kennedy Bago.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment