TIMU ya Kipanga FC ya Zanzibar imefanikiwa kwenda Raundi ya Pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitoa Al Hilal Wau ya Sudan Kusini kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya jumla ya 2-2 nyumbani na ugenini.
Mechi ya kwanza timu hizo zulú Dunia a 1-1 wiki iliyopita Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam na leo pia wamepata matokeo ya aina hiyo Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya mchezo kuamuliwa kwa matuta.
0 comments:
Post a Comment