// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
KIPANGA YASONGA MBELE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEKIPANGA YASONGA MBELE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TIMU ya Kipanga FC ya Zanzibar imefanikiwa kwenda Raundi ya Pili ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuitoa Al Hilal Wau ya Sudan Kusini kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya jumla ya 2-2 nyumbani na ugenini. Mechi ya kwanza timu hizo zulú Dunia a 1-1 wiki iliyopita Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam na leo pia wamepata matokeo ya aina hiyo Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya mchezo kuamuliwa kwa matuta.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment