TIMU ya Arsenal imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, FC Zürich katika mchezo wa Kundi A UEFA Europa League jana Uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen.
Mabao ya Arsenal yamefungwa na Marquinhos dakika ya 16 na Eddie Nketiah dakika ya 62, wakati la FC Zurich limefungwa na Mirlind Kryeziu kwa penalti dakika ya 44.
0 comments:
Post a Comment