WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
LeBron James compared to George Washington while carrying American flag at
2024 Olympics opening ceremony
-
The four-time NBA champ, who served as the nation's flag bearer alongside
tennis star Coco Gauff, was seen standing on the front of a boat floating
down th...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment