WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
Shohei Ohtani Rumors: Cubs' Optimism on Signing MLB Star Has 'Significantly
Waned'
-
It's looking increasingly like Shohei Ohtani's next stop will not be
Chicago. Bob Nightengale of USA Today reported the Cubs' optimism has
"significantly…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment