WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
NFL Rumors: Jaycee Horn's $12.5M Panthers Contract Option Picked Up for
2025 Season
-
A busy weekend for the Carolina Panthers continued with cornerback Jaycee
Horn set to have his fifth-year option picked up. Per NFL Network's Ian
Rapoport,…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment