WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
'I'm back' - record-breaking Ronaldo answers critics
-
Portugal forward Cristiano Ronaldo provides the perfect response to those
that doubted him as he becomes the first player to score at six World Cups.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment