WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
Syrian government confirms detention of missing German journalist
-
The Syrian government confirmed Thursday that a German journalist who went
missing months ago is detained in Syria. Eva Maria Michelmann, 36, was last
seen...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment