WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
World Cup 2026: Cristiano Ronaldo becomes first man to score a goal in six
World Cups
-
Cristiano Ronaldo is still setting records at 41.
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment