WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
Tottenham vs Crystal Palace - Premier League LIVE: Latest score, team news
and updates as Spurs search for much-needed win in huge clash as threat of
relegation becomes reality
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Tottenham host Crystal Palace at the Tottenham Stadium in the
Premier Le...
2 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment