WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
Furious row breaks out at Cheltenham Festival between rival jockeys - as
one accuses the other of 'abuse' in front of his wife and kids
-
Amateur jockey Declan Queally has claimed he was 'abused' by Nico de
Boinville before the opening race on the second day of the Cheltenham
Festival.
52 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment