• HABARI MPYA

    Monday, September 19, 2022

    RUVU SHOOTING YAICHAPA POLISI TZ 1-0 DAR


    BAO pekee la Abalkassim Suleiman dakika ya 48 limetosha kuipa Ruvu Shooting ushindi wa 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
    Kwa ushindi huo, Ruvu Shooting ya kocha Charles Boniface Mkwasa inafikisha pointi sita katika nafasi ya saba, wakati Polisi inabaki na pointi zake mbili baada ya wote kucheza mechi nne.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RUVU SHOOTING YAICHAPA POLISI TZ 1-0 DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top