BAO pekee la Abalkassim Suleiman dakika ya 48 limetosha kuipa Ruvu Shooting ushindi wa 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, Ruvu Shooting ya kocha Charles Boniface Mkwasa inafikisha pointi sita katika nafasi ya saba, wakati Polisi inabaki na pointi zake mbili baada ya wote kucheza mechi nne.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment