Mwanzo > YANGA > MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA TFF YANGA MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI WINGA Mghana wa Yanga, Bernard Morrison amefungiwa mechi tatu kwa kumchezea rafu mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika mechi baina ya timu hizo, wakati refa wa mechi hiyo Ahmed Arajiga amepelekwa Kamati ya Waamuzi. Thursday, September 22, 2022 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LIGI KUU BARA TFF YANGA
0 comments:
Post a Comment