// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, September 22, 2022

    MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI


    WINGA Mghana wa Yanga, Bernard Morrison amefungiwa mechi tatu kwa kumchezea rafu mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika mechi baina ya timu hizo, wakati refa wa mechi hiyo Ahmed Arajiga amepelekwa Kamati ya Waamuzi.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MORRISON AFUNGIWA MECHI TATU, ARAJIGA KIKAANGONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top