TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imechapwa mabao 2-1 na wenyeji, Libya katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Modern Jijini Benghazi.
Bao pekee la Taifa Stars kwenye mchezo huo limefungwa na kiungo Said Hamisi Ndemla huo ukiwa mchezo wa pili wa kirafiki nchini humo ndani ya wiki moja baada ya awali kushinda 1-0 dhidi ya Uganda.
0 comments:
Post a Comment